Mar 29, 2014

USAILI NDANI YA UWANJA WA CCM KIRUMBA WADU MBALI MBALUI WAJITOKEZA

 Timu za mpira bongo movie na boda boda mwanza wakiwa tayari kusakata kabumbu ndani ya uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza leo mapema
 timu uwanjani tayari kwa soka

 MC juma mtetwa aka silk akiwa na mike akimkaribisha refa wa soka hilo 

 referee wa soka kati ya bongo movie na boda boda mwanza leo ni JB tayari akiwa maewasili uwanjani na filimbi mkononi

 jb akizungumza na wadau wa tasininia ya filamu uwanjani kabla ya soka

 vijana wakiwa wanacheki soka uwanjani

 moja ya vijana waliofanyiwa interview na team wastara 

 meza kuu iliwakilishwa na WASTARA JUMA, MBOTO, BAKARI MAKUKA , NA JB pia meza ya mabalozi ilikuwa na BABU WAMBURA, JUMA MTETWA SILK, na PRINCES MANAAR

 Mboto akijaribuakiwa kazini na vijana wa interview



 wastara na rafiki yake walipokutana full shangwe

 juma na mboto wakiteta jambo 

 babu wambura, mboto na juma mtetwa silk ndani ya uwanja wa ccm kirumba leo 

 babu wambura na mboto ccm kirumba mwanza


 kijana costa nae alipata fursa ya kupiga picha na babu wambura  

 likitetwa jambo hapo