"Kila lakheri Mdogo wangu"-Venance Mwamoto
Uchaguzi wa jimbo hilo unatarajiwa kufanyika mnamo tarehe 16 machi 2014,ambapo wananchi wa jimbo hilo wameombwa kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi hilo la upigaji kura na hatimae kumchagu kiongozi (Mbunge) wamtakae kwa maendeleo ya jimbo lao.Aidha Vyombo vya Usalama pia vimetoa rai kwa Wananchi kuwa watulivu kwa wakati wote wa kampeni na uchaguzi,ili kuhakikisha amani na utulivu vinatawala muda wote pasi na vurugu.
.jpg)
