Jan 6, 2014

HUKUMU YA ZITTO KABWE KESHO SAA NANE



zitto kabwe

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa au kutotoa zuio la muda kwa Kamati Kuu ya Chadema kutojadili uanachama wa Zitto Kabwe mpaka kesho saa nane mchana!