Basi la Burudani baada ya ajali leo Wilaya ya Handeni, Tanga.

Wananchi wakiwa eneo la Hospitali.
Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo ( kushoto) akiangalia mmoja wa majeruhi akipatiwa matibabu.
Majeruhi wakipatiwa matibabu.
Mmoja wa majeruhi akiwa amelazwa kwenye benchi
Basi la Burudani leo limepata ajali maeneo ya Kabuku - Korogwe , watu 12 hadi sasa wamefariki na majeruhi zaidi ya 55. Watu 4 wamepelekwa MOI na KCMC. Tuwaombee majeruhi.
PICHA ZOTE NA MKUU WA WILAYA YA KOLOGWE, MRISHO GAMBO
PICHA ZOTE NA MKUU WA WILAYA YA KOLOGWE, MRISHO GAMBO






