Jeneza baada ya kuwasili eneo la makaburi. Hapa likifunguliwa kutoka kwenye gari maalum
Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela likipelekwa makaburini tayari kwa maziko
Jeneza lenye mwili wa Mandela likiwa makaburini
Hapa ndipo Hayati Nelson Mandela atakapozikwa.
OPRA NAE AHUDHURIA MAZIKO
Askofu Desmond Mpilo Tutu ambaye alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Mandela naye akielekea eneo la makaburi.





