Baada ya malalamiko ya Tanzania kuhusu ushirikiano wa nchi tatu (Kenya, Uganda na Rwanda) unaojulikana kama Umoja wa Walio Tayari, Rais Uhuru Kenyatta akizungumza jana katika uzinduzi wa reli Mombasa amesema kuwa umoja huo haukuwa na mpango wa kuitenga Tanzania
