Kuv uliwa v y eo kwa Zitto Zuberi Kabwe na Dr Kitila Mkumbo kutakuwa na v isingio v ingi, ukweli ni kwamba
"NDANI Y A CHADEMA AKI LI NDOGO I NAT AWALA AKI LI KUBWA" I t is natural kwamba akili ndogo
ikitawala akili kubwa,
1 ) Y atatumika mabav u na nguv u ny ingi kuizuia akili kubwa kupanda juu,
2) Zitataf utwa sababu ny ingi na v isingizio uc hwara kuhalalisha kuizima akili kubwa tof auti na v igezo v y a
hoja kwakuwa akili ndogo haiwezi kuizidi akili kubwa kwa hoja,
3) Hutumika v itisho v ingi kuzuia akili kubwa kuc hukua hadhi y ake
4 ) Akili ndogo ni raf iki wa akili ndogo mwenzake, hiv y o akili ndogo huzungukwa na akili ndogo kwakuwa
ushauri wa akili kubwa akili ndogo hushindwa kutumia ama kushindwa kuonesha umiliki mbele za watu.
Kweny e c hadema weny e akili wote wako nje y a uzio wa c hemic hemi y a mawazo. Pale bungeni watu
wanaoweza kuf undisha na waliokuwa wakif undisha hata unaibu waziri kiv uli hawapati kwakuwa wanatumia
akili zaidi badala y a nguv u. Lakini walioishia kidato c ha kwanza, pili, tatu na zero ndio think tanks na ndio
majembe y a c hadema kwakuwa wanatumia mabav u na manguv u zaidi kuliko akili sawasawa na matakwa
mahitaji y a akili ndogo inay oongoza akili kubwa. Vijana wahitimu wa v y uo wanaopenda siasa waliandikiwa
barua kuwazuia kuhutubia mkutano wowote wa hadhara sawasawa na matakwa y a akili ndogo inapotawala
akili kubwa. Zito, Kitila, Christowaja, Matiko, Opulukwa, Baregu, Letic ia, Selasini, Arf i, Akunay , Naste
wengi wao MA holders kwa c hadema ni rejec ts. Ukiwa mwanaf amilia au ukoo au kazi au wito maalum wa
v iongozi ndio utakwepo kweny e list. I know Zitto tangu tukiwa c huoni, he is a brilliant and c onsistent
politic ian, namjua Dr Kitila tangu c huoni, he is resourc ef ul. Hiv i kosa walilof any a ni kubwa kuliko mc hango
wao waliof any a kweny e kuwajenga watanzania kuwaamini v ijana kweny e siasa? Je kosa lao ni kubwa kuliko
mc hango wao unav y ohitajika? Vijana tuko kazini na wakati huohuo tuko maf unzoni. Sio adhabu nzuri y a
kuwaf ukuza ama kuwaondoa kweny e f ursa y a kujif unza zaidi. Hay a ndio madhara y a AKI LI NDOGO
KUT AWALA AKI LI KUBWA, HOFU NDI O HUT AWALA
.jpg)