hii ndio meza kuu ya wadau wa semina ya fursa iliyo fanyika jijini mwanza ukumbi wa goldcrest hotel
Naibu
Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia,Mh Januari Makamba akiwa
ameambatana na Naibu Waziri wa Nishati na Madini,Mh Stephen Masele
(mwenye miwani) akisalimiana na Mkurugenzi wa Benki ya Wanawake
Tanzania (TWB),Bi.Magreth Chacha walipokuwa wakiwasili kwenye semina
ya kamata fursa Twendzetu,ndani ya ukumbi Gold Crest,jijini Mwanza
asubuhi hii,pichani kati ni Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji Clouds
Media Group,Bwa.Ruge Mutahaba.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika semina hiyo
Mmoja wa waigizaji mahiri wa filamu hapa nchini Elizabeth Michael akijulikana zaidi kwa la
kisanii kama Lulu akiwasili kwenye semina ya kamata fursa
Twendzetu,ndani ya ukumbi Gold Crest,jijini Mwanza asubuhi hii,ambapo
pia atazungumzia mambo kadhaa mbalimbali kwenye semina hiyo,ambayo
itawakutanisha Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia,Mh
Januari Makamba,Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini na watoa mada
wengine mbalimbali.
Mkurugenzi
Mtendaji wa kampuni ya Maxcom inayouza bidhaa yake ijulikanayo kama Max
Malipo,Bwa.Juma Rajab akizungumzia kuhusiana na fursa ya bidhaa yake ya
Max Malipo inavyoweza kuisadia jamii kwa namna moja ama nyingine.
Mmoja wa wasanii wa bongofleva,Nikki Wa Pili akizungumza kwenye semina ya kamata fursa twendzetu.
Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida,Mh.Yahaya Nawanda akizungumzia mada yake iliyohusu suala la ufugaji,hasa kuku wilayani mwake
Hizi ni picha za jinsi semina ya fursa ilivyoenda leo 28/9 mchana. Kulikuwa na wazungumzaji mbalimbali kama Lulu,Mr Sebastian Maganga,Mr Ruge Mutahaba, Nikki wa Pili na wengine wengi. Cheki jinsi watu wangu wa Mwanza walivyopata darasa la fursa
Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia,Mh Januari Makamba akizungumza
Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida,Mh.Yahaya Nawanda akizungumzia mada yake iliyohusu suala la ufugaji,hasa kuku wilayani mwake
Hizi ni picha za jinsi semina ya fursa ilivyoenda leo 28/9 mchana. Kulikuwa na wazungumzaji mbalimbali kama Lulu,Mr Sebastian Maganga,Mr Ruge Mutahaba, Nikki wa Pili na wengine wengi. Cheki jinsi watu wangu wa Mwanza walivyopata darasa la fursa
Naibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia,Mh Januari Makamba akizungumza
na wadau wa kupata elimu hiyo ya bure kabisa














