asikari wa kuzua ghasia wakiwa na siraha za kurusha mabomu ya machozi na kutawanya makundi ya watu waliokuwa wakiandamana
vijana wako bize
watu wakiwa wako na mzuka
Mheshimiwa wenje mbunge wa nyamagana akiongea na wanchi
Mheshimiwa mkuu wa mkoa akijaribu kulipastia ufumbuzi suala zima la maandamano hayo kwa viongozi wa chadema
baadhi ya raia walio data walisomba uchafu na kuujaza katikati ya barabara
asikari wakijaribu kuzuia maandamano ya chadema na kuthibiti hali kuwa shwari ndani ya jiji










