Aug 29, 2013

BREAKING NEWS !!!!!! MCHUNGAJI MOSES KULOLA AFARIKI DUNIA LEO TAREHE 29/08/2013

 asikofu mzee moses kulola enzi za uhai wake akiwa na juhudi za ukombozi wa mwanadamu juu ya 
kampeni maalumu ya ukombozi hii ndiyo ahadi yake kwa bwana tangu maisha yake yote





MASANJA  MKANDAMIZAJI AKIWA NA MOSES KULOLA VIWANJA VYA FURAHISHA WAKITETA JAMBO NA WATUMISHI WENGINE